Mandella acha kumdanganya jamaa ... L6 ni 214,000 ??? Hiyo bei labda atakupa ndugu yako au duka ambalo umechangia mtaji !!!! Jamani msitaje bei za kupotosha watu !!!! Arafa naomba uende duka analokuelekeza jamaa na ukipata L6 kwa bei hiyo, niletee simu 10 dukani kwangu !!!
Tecno H6 !!! Unatumia line yoyote
Hizi simu ni 270,000
Mandella acha kumdanganya jamaa ... L6 ni 214,000 ??? Hiyo bei labda atakupa ndugu yako au duka ambalo umechangia mtaji !!!! Jamani msitaje bei za kupotosha watu !!!! Arafa naomba uende duka analokuelekeza jamaa na ukipata L6 kwa bei hiyo, niletee simu 10 dukani kwangu !!!
nakushauri kitu kimoja sahihi saana .
Nenda duka lolote pale Kariakoo linalouza simu,au popote ulipo /mkoani . Nunu simu Inaitwa Techo L6 .
Ni simu yenye Screen nzuti saana ,pia ina uwezo mkubwa wa battery.
Bei ya mwisho niliyoulizia ilikua ni 214,000/= Tsh .
Nzuri saana .
huwe jutia .Kama upi Serious hiyo ndio simu sahihi kwa Badget yako .
Nahitaji kununua smartphone aina ya Tecno kwa 200,000