geofreyngaga JF-Expert Member Joined Sep 7, 2014 Posts 667 Reaction score 974 Oct 28, 2015 #21 Watu 10@kilo65 kwa makisio jumla kilo 650 Kitaalam Kirikuu inabeba kilo 350 Note: watu wa mbeya kiasilia wameshiba kilo65 ni makisio ya chini TAFAKARI CHUKUA TAHADHARI, haki kirikuuuuu!!
Watu 10@kilo65 kwa makisio jumla kilo 650 Kitaalam Kirikuu inabeba kilo 350 Note: watu wa mbeya kiasilia wameshiba kilo65 ni makisio ya chini TAFAKARI CHUKUA TAHADHARI, haki kirikuuuuu!!
Deeboyfrexh JF-Expert Member Joined Apr 3, 2015 Posts 3,422 Reaction score 5,594 Oct 28, 2015 #22 kirikuu inabebeshwaga mbao kibao,sembuse hao watu tu looh!
kipipili JF-Expert Member Joined Jul 29, 2009 Posts 1,587 Reaction score 187 Oct 28, 2015 Thread starter #23 Preta said: Mkuu Kipilipili........hiyo si ndio inaitwa kirikuu........?....... Click to expand... ni sawa inaitwa kirikuu ila note the difference kipipili vs kipilipili
Preta said: Mkuu Kipilipili........hiyo si ndio inaitwa kirikuu........?....... Click to expand... ni sawa inaitwa kirikuu ila note the difference kipipili vs kipilipili
M mutashambala Member Joined May 1, 2013 Posts 40 Reaction score 3 Oct 28, 2015 #24 Deeboyfrexh said: kirikuu inabebeshwaga mbao kibao,sembuse hao watu tu looh! Click to expand... Sawa inabebeshwa lakini matokeo yake injini yake inachoka mapema. Kwa kazi ya kubeba watu wa Mbeya ambao wameshiba, inatakiwa asibebe zaidi ya watu 5.
Deeboyfrexh said: kirikuu inabebeshwaga mbao kibao,sembuse hao watu tu looh! Click to expand... Sawa inabebeshwa lakini matokeo yake injini yake inachoka mapema. Kwa kazi ya kubeba watu wa Mbeya ambao wameshiba, inatakiwa asibebe zaidi ya watu 5.
M mutashambala Member Joined May 1, 2013 Posts 40 Reaction score 3 Oct 28, 2015 #25 Nguvu ya injini ya kirikuu ni cc 660. Kama unataka kubeba watu kumi bila kumuingiza hasara mwenye gari, tafuta noah kama barabara ni zuri. Kama barabara ni mbaya, tafuta toyota hilux.
Nguvu ya injini ya kirikuu ni cc 660. Kama unataka kubeba watu kumi bila kumuingiza hasara mwenye gari, tafuta noah kama barabara ni zuri. Kama barabara ni mbaya, tafuta toyota hilux.
Kiteitei JF-Expert Member Joined Jan 14, 2009 Posts 1,600 Reaction score 1,574 Oct 28, 2015 #26 Watu 10 tena wa mbeya plus vifaa na ile milima ni ubakaji wa kirikusia!! Tafuta gari kubwa mkuu
kipipili JF-Expert Member Joined Jul 29, 2009 Posts 1,587 Reaction score 187 Oct 28, 2015 Thread starter #27 geofreyngaga said: Watu 10@kilo65 kwa makisio jumla kilo 650 Kitaalam Kirikuu inabeba kilo 350 Note: watu wa mbeya kiasilia wameshiba kilo65 ni makisio ya chini TAFAKARI CHUKUA TAHADHARI, haki kirikuuuuu!! Click to expand... nakubaliana nawewe kuwa inabeba kilo 350, but that is capable of carrying even a ton that i swhy is called carry
geofreyngaga said: Watu 10@kilo65 kwa makisio jumla kilo 650 Kitaalam Kirikuu inabeba kilo 350 Note: watu wa mbeya kiasilia wameshiba kilo65 ni makisio ya chini TAFAKARI CHUKUA TAHADHARI, haki kirikuuuuu!! Click to expand... nakubaliana nawewe kuwa inabeba kilo 350, but that is capable of carrying even a ton that i swhy is called carry
M mutashambala Member Joined May 1, 2013 Posts 40 Reaction score 3 Oct 28, 2015 #28 kipipili said: nakubaliana nawewe kuwa inabeba kilo 350, but that is capable of carrying even a ton that i swhy is called carry Click to expand... Si vema kukodisha gari kwa mkataba wa kazi inayozidi uwezo wa kazi. Gari inaweza kuhitaji kubadilisha injini baada ya kazi hiyo.
kipipili said: nakubaliana nawewe kuwa inabeba kilo 350, but that is capable of carrying even a ton that i swhy is called carry Click to expand... Si vema kukodisha gari kwa mkataba wa kazi inayozidi uwezo wa kazi. Gari inaweza kuhitaji kubadilisha injini baada ya kazi hiyo.
M mutashambala Member Joined May 1, 2013 Posts 40 Reaction score 3 Oct 28, 2015 #29 Samahani nilikuwa na maana ya kazi inayozidi uwezo wa gari.
kipipili JF-Expert Member Joined Jul 29, 2009 Posts 1,587 Reaction score 187 Oct 28, 2015 Thread starter #30 mutashambala said: Samahani nilikuwa na maana ya kazi inayozidi uwezo wa gari. Click to expand... umeeleweka mkuu
mutashambala said: Samahani nilikuwa na maana ya kazi inayozidi uwezo wa gari. Click to expand... umeeleweka mkuu
Governor of Bettors-GB JF-Expert Member Joined Jul 14, 2013 Posts 10,734 Reaction score 9,916 Oct 29, 2015 #31 Jerrymsigwa said: So unataka yenye siti kabisa? Click to expand... Hahahaha,wewe mtu sie kabisaaaa,aisee Carry yenye seats kabisaaa,alooo
Jerrymsigwa said: So unataka yenye siti kabisa? Click to expand... Hahahaha,wewe mtu sie kabisaaaa,aisee Carry yenye seats kabisaaa,alooo
Governor of Bettors-GB JF-Expert Member Joined Jul 14, 2013 Posts 10,734 Reaction score 9,916 Oct 29, 2015 #32 mutashambala said: Si vema kukodisha gari kwa mkataba wa kazi inayozidi uwezo wa kazi. Gari inaweza kuhitaji kubadilisha injini baada ya kazi hiyo. Click to expand... Heheheheh,hahahahaha,Sikuachi hata kama umerekebisha,maane nilicheka bila kutabasam,haya tuendelee
mutashambala said: Si vema kukodisha gari kwa mkataba wa kazi inayozidi uwezo wa kazi. Gari inaweza kuhitaji kubadilisha injini baada ya kazi hiyo. Click to expand... Heheheheh,hahahahaha,Sikuachi hata kama umerekebisha,maane nilicheka bila kutabasam,haya tuendelee