Habar zenu wapndwa, poleni na majukumu ya kila cku, naomba kuuliza hiv hawa watu wa zoom wanaotupia matangaz ya kaz then ukitaka kuapply mbna anwani sizioni wenzangu tnafanyaje? Tueleweshane manake mambo ya kidigital haya ni shida kwa wengine. Msaada tafadhali kwa yyte anayeelew