Nikushauri.....hapo kibaha mpaka chalinze kuna vikundi wanabanguwa korosho...watembelee uone na mutaelewana pia maeneo ya mkuranga mbele ya mbagala kidogo
Nikushauri.....hapo kibaha mpaka chalinze kuna vikundi wanabanguwa korosho...watembelee uone na mutaelewana pia maeneo ya mkuranga mbele ya mbagala kidogo
We unataka nyingi za kuuza au kiasi tu za kutafuna? Waweza kupata pakti kuanzia Tshs 500/- Mpaka Tshs 5,000/- kwa pakti ya kilo 1 ila sasa hiyo kutafuna tu peke yako Mpaka labda siku uwe na mechi!