Umeshindwa hata kung'amua mantiki ya swali langu kuna biashara kweli hapo?Niko Dar, kuna tatizo?
kwa uzoefu wangu mimi humu jf ni bora uangalie alternative ya model za hizo pcs lakini humu jukwaani usiwaamini sana watu matapeli wengi.Mkuu nishazunguka nimekosa ndio maana niko huku.
Sawa mkuu this is noted.kwa uzoefu wangu mimi humu jf ni bora uangalie alternative ya model za hizo pcs lakini humu jukwaani usiwaamini sana watu matapeli wengi.
But the best alternative ni kununua hiyo model ya pc kupitia mtandaoni hasa Aliexpress
Nitumie pics na details pmnipe laki 2 na 80 location dar ila ni core i5 pc haina tatizo wala nini