Habari wadau. Nahitaji kununua kiwanja Dar katika maeneo yafuatayo, kigamboni nje ya eneo la mradi,mmbande,mbagala,toa ngoma, gezaulole, sala sala, madale bajeti yangu ni 5m. Mwenye nacho aniPM tufanye biashara. Kisizidi hiyo bajeti tafadhali.
Habari wadau. Nahitaji kununua kiwanja Dar katika maeneo yafuatayo, kigamboni nje ya eneo la mradi,mmbande,mbagala,toa ngoma, gezaulole, sala sala, madale bajeti yangu ni 5m. Mwenye nacho aniPM tufanye biashara. Kisizidi hiyo bajeti tafadhali.
ninacho nauza! kipo goba kunguru (st.joseph)kina nyumba ya kurebisha ina umeme kipo hatua tano kutoka hifadhi ya barabara 20*25 eneo zima 25M neg dalali hatakiwi
nina kiwanja kigamboni sqmt 1700, amani gomvu, kiwanja kiko nje ya mradi, kiwanja hakiko mbali na barabara kuu ya kuelekea kimbiji....kiwanja kimepimwaaa
kwa maelezo zaidi ya bei ni pm
Niacho kiwanja kipo mbande nauza 4.5m kipo pazuri na kuna matofali 2000 ambayo nilifyatua mwenyewe kwa uwiano wa mfuko mmoja wa cement tofali 40 ukichkua na tofali nauza 6.5mil 0712151818
Habari wadau. Nahitaji kununua kiwanja Dar katika maeneo yafuatayo, kigamboni nje ya eneo la mradi,mmbande,mbagala,toa ngoma, gezaulole, sala sala, madale bajeti yangu ni 5m. Mwenye nacho aniPM tufanye biashara. Kisizidi hiyo bajeti tafadhali.