Km 4,vya karibu zaidi km 1 ,milioni 7Kilometer ngapi kutoka main road
Sanzale Bagamoyo 3.75 milionNahitaji kununua kiwanja maeneo ya Kiluvyaa, Kibaha, Bagamoyo,Tegeta na Boko.
Kipo zinga kinauzwa 3.5Nahitaji kununua kiwanja maeneo ya Kiluvyaa, Kibaha, Bagamoyo,Tegeta na Boko.
Nahitaji kununua kiwanja maeneo ya Kiluvyaa, Kibaha, Bagamoyo,Tegeta na Boko.
karibu bunju , weka mezani ofer yako 0766473551Nahitaji kununua kiwanja maeneo ya Kiluvyaa, Kibaha, Bagamoyo,Tegeta na Boko.
Milioni 2.5 unapata cha ukubwa gani maeneo hayo? Je ni km ngapi kutoka morogoro road?Kibaha kwa Mathias vipo kuanzia milioni moja na nusu na milioni mbili na nusu
Njoo nikuuzie cha kwangu kipo toa ngoma mtaa fulani unapendeza naimani utapapenda tu, usikalili hayo majina ukipelekwa we mwenyewe utashangaa kwamba bora ukaishi ushetu shinyanga unakuta ni machakani bei juu unaambiwa ndio kuna mpango wa kutengeneza barabara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukihitaji pugu tuwasiliane
Kutoka lami 1km
Ukubwa sqm 1600 (40*40)metre
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwasasaivi unauzaje icho kiwanjaNikuuzie ka kwangu kapo Kivule, Maduka Saba. Mi nilinunua 4m mwaka 2016, 400 sq ft
Sent using Jamii Forums mobile app