Nahitaji kiwanja kwa million 3.5

Nahitaji kiwanja kwa million 3.5

Kizazi jeuri

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2013
Posts
297
Reaction score
64
Nahitaji kiwanja bei milioni 3.5 kiwe jirani na umeme, kisiwe bondeni na mwisho kiwe kikubwa na chenye barabara hisiyo na mizengwe. Maeneo ukonga na mbagala.

Nipm kama kina sifa hizo
 
Nahitaji kiwanja bei milioni 3.5
, kiwe jirani na umeme, kisiwe bondeni na mwisho kiwe kikubwa na chenye barabara hisiyo na mizengwe. Maeneo ukonga na mbagala.

Nipm kama kina sifa hizo.

Nahisi utakuwa unaota usingizini bado subili kukuche
 
Wewe umevurugwa sana kwani ungepita Kimya Kimya ingekuwaje? Be å gentleman hacha uswahili usio na maana.

Nenda kakojoe, unye kabisa then ulale pumbavu, na mjinga kana ww umeskia wapi kiwanja cha bei iyo na naeneo uliotaja
 
ninacho banana miguu 10x5 kinafaa kujenga flem ya biashara
 
Njoo Mkuranga mkuu kama unataka cha makazi.Acha kubanana huko mbagala na Ukonga.Karibu kwenye hewa safi na uoto wa asili.Hautojutia pesa yako.
 
Huko mkuranga vinaanzia bei Gani mkuu?? shaks001
 
Last edited by a moderator:
Inategemea na ukubwa wa eneo lakini nina imani kwa kiasi ulichonacho unaweza kupata cha kukufaa.Labda kama upo serious tujaribu kuwasiliana nikuulizie,mimi maisha yng asilimia 100 yalikuwa Dar lkn toka nimehamia huku sijapata hamu ya kuja kuishi Dar tena labda kutembea na shughuli nyingine.Hata hivyo si mbali na Dar(Mbagala),nauli ni buku tu.
 
Nenda kakojoe, unye kabisa then ulale pumbavu, na mjinga kana ww umeskia wapi kiwanja cha bei iyo na naeneo uliotaja

Sina haja ya ky, Kikoozi chako ndio ntatumia kukoroga tope lako, ili ujazie jazie zaidi naona una hamu sana mtoto wa kiume.
 
Ntapata ila sio kwa haraka, mbona vipo sema kupata inatakiwa kuwa na subira. Watu wanakopa, watu na shida. Juzi kuna mzee mwimbili yupo hoi kauza milioni mbili kiwanja kizuri kikubwa 25 kwa 30. mombasa kwa diwani tena kuna umeme. Mkwanja nilikuwa sijakamata.
 
Ntapata ila sio kwa haraka, mbona vipo sema kupata inatakiwa kuwa na subira. Watu wanakopa, watu na shida. Juzi kuna mzee mwimbili yupo hoi kauza milioni mbili kiwanja kizuri kikubwa 25 kwa 30. mombasa kwa diwani tena kuna umeme. Mkwanja nilikuwa sijakamata.

Mkuu umetisha,kwa hiyo unasuburi cha zari kama hicho cha huyo mzee.
Kila la heri,matumaini mema
 
Mkuu umetisha,kwa hiyo unasuburi cha zari kama hicho cha huyo mzee.
Kila la heri,matumaini mema

Ndio tulipo fikia mkuu, matatizo ya mwenzio ndio ngazi kwako, na bahati nzuri nataka baadae ndio nikiuze, najua miaka 3 au 5 milioni 20 au zaidi faster nakamata.

Mtoto wa kiume kujiongeza mkuu.
 
Nahitaji kiwanja bei milioni 3.5 kiwe jirani na umeme, kisiwe bondeni na mwisho kiwe kikubwa na chenye barabara hisiyo na mizengwe. Maeneo ukonga na mbagala.

Nipm kama kina sifa hizo

mzee nichek 0712584524.....Fanya hat a m4 Iv....ni pande za kbaha,
 
Kiongozi kibaha kwa mfipa kuna eneo njoo nikuonyeshe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom