Mwiba Kwanguruwe
Member
- Jan 15, 2014
- 39
- 4
kiwe na title deed, isizidi 15km from ferry, kisipungue 1200 sq m
kiwe na title deed, isizidi 15km from ferry, kisipungue 1200 sq m
Asante Ndugu, nitumie contacts zako kwenye inbox, alafu ni KMs ngapi toka ferry? tutawasiliana zaidi kwenye simu, Much appreciatedSquare meters 1200 zenye title deed huwezi kupata kibada mkuu. Njoo uchukue heka nzima kwa milioni 12 hapo hapo kibada. Utakachofanya, utachukua mtu wa GPS wizara ya ardhi uje nae apime kuangalia kama kuna mradi au linamilikiwa na mtu mwingine.
Eneo Lipo pazuri na kuna nyumba mpya nyingi karibu.