Unavuta afu unatolea moshi masikioni!(Joke)
Majani ya bhange mbichi unayasigina then unakamulia maji yake kwenye sikio. Pia mafuta ya kuku wa kienyeji unayachemsha kisha unayasubiria yapoe, yakishapoa unachovya pamba kwenye hayo mafuta then unaweka kwenye sikio linalouma!
Kila la kheri mkuu.
Sent from my WhiteBerry using JamiiForums