Nahitaji Container 40ft Mwanza

ng'wanankamba

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2010
Posts
346
Reaction score
120
Wadau nahitaji container la 40 ft, Mwanza mjini, liwe katika hali nzuri. Offer yangu ni shs milioni tano.
 
Wadau nahitaji container la 40 ft, Mwanza mjini, liwe katika hali nzuri. Offer yangu ni shs milioni tano.
CONTAINERS TRADEX
Sisi tunauza container la futi 40 kwa bei ya US$ 2200 au Tsh 4,829,000 likiwa Dar, ila unaweza kuongea na wenye malori likafikishwa Mwanza kwa bei ndogo.
Namba zangu ni 0719 540 445 au 0754 336 877 au 0786 453 273
 
CONTAINERS TRADEX
Sisi tunauza container la futi 40 kwa bei ya US$ 2200 au Tsh 4,829,000 likiwa Dar, ila unaweza kuongea na wenye malori likafikishwa Mwanza kwa bei ndogo.
Namba zangu ni 0719 540 445 au 0754 336 877 au 0786 453 273
Mkuu waweza kuniunganisha na wenye malori? Nina container langu ft 20 liko Lindi nataka kulileta Dar..
 
Nendeni kwenye ofisi za shipping line ndiyo wanauza kontena za inakuja na unapewa na kadi yake kabisa......

Ovaaaa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…