Habari za kazi,
Nipo Mwanza bado mgeni, nahitaji laptop aina ya HP iwe na
1. Window 8
2. Processor--2.16GHZ(intercelon)
3. Ram-4GB
5. Hard disk-500GB
6. Iwe na warranty software na hardware.
7. Iwe mpyaa kabisa na boks lake sio used.
Ni PM tuwasiliane zaidi.