Wakuu nahitaji chumba. Anayepangisha vyumba maeneo haya tafadhali naomba tuwasiliane.
Au hata:
-Anayejua chumba maeneo ya Mabibo hostel, Sinza, Changanyikeni,Survey,Makongo juu,Ubungo External, Mwenge na River Side. Budget yangu ni 30k au 40k au 50k kwa mwezi.