Nahisi nina tatzo la kukosa hisia je, nimuone daktari au tatzo langu ni la kiroho zaidi?

mkulu1

Member
Nov 24, 2022
53
90
Salaam sna wna jf familia yetu pendwa.......! Mim ni kijana wa umri wa miaka 33 bado sijaoa nina harakat zngy t za mjini znazonfnya naendlea kuish vzr tu kw mapenz ya mung kwnye hii nchi yetu ya mama kizimkazi.

Ukiachana na matatzo mengne ya kibinadamu nahisi nija shida kwnye hisia zangu kimapenzi

Kiuhalsia sijawahi kuhisi maumivu kuachwa ama kuachana na mtu yeyote nliewah kuwa kimahusiano naye jee hili ni jambo la kawaida??? Au ni pepo la umalaya?

Maana tangu nakua naamza na my first love story sjawah kuhis maumiv pale ambpo nampoteza mtu eidha kw kuacha ama kuachwa namekutana n maneno wtu wng wnasema kama umefkia kipnd ukiachw huumii bas ushakuwa malaya

Wakat hali hyo mm niko nayo nq nmekua nayo sku zote tangu najijua ...!

Hii haimaanisj sipendi au sjapenda bado mana kupenda napenda sana ila ile hali ya kuwa na maumivu endapo
Nikiwa ma breakup huwa nags kam nimepnguziwa mzgo hatakama nilipenda huyo mtu kuplekea sjawah feel the pain
Kwny mahusiano kisa kuachana je hil liko saw kibaiolojia nmekuja kwenu mnisanue wakuu

Kuna muda nahsi kama napoteza au haiko saw kwngu kiakil mana i thnk no matter what hio feeling haitakuj nitokea katu

N sio pia sjawah kuwa cheated nshawah n bnt ambaye nmemtolea mahar kabsa nmuoe two weeks before ndoa namkuta na jamaa ang geto kwke anamkula
Nlmuacha lakn n kw ajil ya ile hal ya kuhis ataendlea kuliwa na jamaa mpka wakat nmemuoa na

Jamii na familia yangu itanchukuliaje na nlkuw nafkria ile pesa yangu ya mahar nkairequest uzur alnpa yeye mwnyw binti nkaflash

Ila mm mwnyw kwnye nafs yng ile maumiv kabsa ya mapenz kama mavyskia kw watu skuyafeel

Sidhan kama ntakuja yafeel na naelkkea kuuacha ujana je this fyn au nmuone dktar ?? Mana nlhs labda itatokea soon or later ila nahs it wonte happen baada ua hli la ndoa maan limetokea recently!!
 
eeeh kumbe kuna kijilipia posa🙄,, kwel chai umeunga na kitunguu manjano jaman asubuh yote hii!?

Enewei, hujawah penda mkuu.
 
Salaam sna wna jf familia yetu pendwa.......! Mim ni kijana wa umri wa miaka 33 bado sijaoa nina harakat zngy t za mjini znazonfnya naendlea kuish vzr tu kw mapenz ya mung kwnye hii nchi yetu ya mama kizimkazi.


Ukiachana na matatzo mengne ya kibinadamu nahisi nija shida kwnye hisia zangu kimapenzi

Kiuhalsia sijawahi kuhisi maumivu kuachwa ama kuachana na mtu yeyote nliewah kuwa kimahusiano naye jee hili ni jambo la kawaida??? Au ni pepo la umalaya?

Maana tangu nakua naamza na my first love story sjawah kuhis maumiv pale ambpo nampoteza mtu eidha kw kuacha ama kuachwa namekutana n maneno wtu wng wnasema kama umefkia kipnd ukiachw huumii bas ushakuwa malaya

Wakat hali hyo mm niko nayo nq nmekua nayo sku zote tangu najijua ...!

Hii haimaanisj sipendi au sjapenda bado mana kupenda napenda sana ila ile hali ya kuwa na maumivu endapo
Nikiwa ma breakup huwa nags kam nimepnguziwa mzgo hatakama nilipenda huyo mtu kuplekea sjawah feel the pain
Kwny mahusiano kisa kuachana je hil liko saw kibaiolojia nmekuja kwenu mnisanue wakuu

Kuna muda nahsi kama napoteza au haiko saw kwngu kiakil mana i thnk no matter what hio feeling haitakuj nitokea katu

N sio pia sjawah kuwa cheated nshawah n bnt ambaye nmemtolea mahar kabsa nmuoe two weeks before ndoa namkuta na jamaa ang geto kwke anamkula
Nlmuacha lakn n kw ajil ya ile hal ya kuhis ataendlea kuliwa na jamaa mpka wakat nmemuoa na

Jamii na familia yangu itanchukuliaje na nlkuw nafkria ile pesa yangu ya mahar nkairequest uzur alnpa yeye mwnyw binti nkaflash

Ila mm mwnyw kwnye nafs yng ile maumiv kabsa ya mapenz kama mavyskia kw watu skuyafeel

Sidhan kama ntakuja yafeel na naelkkea kuuacha ujana je this fyn au nmuone dktar ?? Mana nlhs labda itatokea soon or later ila nahs it wonte happen baada ua hli la ndoa maan limetokea recently!!
Mi kiingereza chako tu hoi, sasa dogo si ungewasilisha kwa lugha moja tu iliyonyooka maana hata hivyo unavyovichomekea chomekea unavikosea pia, hata kiswahili chenyewe mara ufupishe maneno kha 😀😆
 
Salaam sna wna jf familia yetu pendwa.......! Mim ni kijana wa umri wa miaka 33 bado sijaoa nina harakat zngy t za mjini znazonfnya naendlea kuish vzr tu kw mapenz ya mung kwnye hii nchi yetu ya mama kizimkazi.


Ukiachana na matatzo mengne ya kibinadamu nahisi nija shida kwnye hisia zangu kimapenzi

Kiuhalsia sijawahi kuhisi maumivu kuachwa ama kuachana na mtu yeyote nliewah kuwa kimahusiano naye jee hili ni jambo la kawaida??? Au ni pepo la umalaya?

Maana tangu nakua naamza na my first love story sjawah kuhis maumiv pale ambpo nampoteza mtu eidha kw kuacha ama kuachwa namekutana n maneno wtu wng wnasema kama umefkia kipnd ukiachw huumii bas ushakuwa malaya

Wakat hali hyo mm niko nayo nq nmekua nayo sku zote tangu najijua ...!

Hii haimaanisj sipendi au sjapenda bado mana kupenda napenda sana ila ile hali ya kuwa na maumivu endapo
Nikiwa ma breakup huwa nags kam nimepnguziwa mzgo hatakama nilipenda huyo mtu kuplekea sjawah feel the pain
Kwny mahusiano kisa kuachana je hil liko saw kibaiolojia nmekuja kwenu mnisanue wakuu

Kuna muda nahsi kama napoteza au haiko saw kwngu kiakil mana i thnk no matter what hio feeling haitakuj nitokea katu

N sio pia sjawah kuwa cheated nshawah n bnt ambaye nmemtolea mahar kabsa nmuoe two weeks before ndoa namkuta na jamaa ang geto kwke anamkula
Nlmuacha lakn n kw ajil ya ile hal ya kuhis ataendlea kuliwa na jamaa mpka wakat nmemuoa na

Jamii na familia yangu itanchukuliaje na nlkuw nafkria ile pesa yangu ya mahar nkairequest uzur alnpa yeye mwnyw binti nkaflash

Ila mm mwnyw kwnye nafs yng ile maumiv kabsa ya mapenz kama mavyskia kw watu skuyafeel

Sidhan kama ntakuja yafeel na naelkkea kuuacha ujana je this fyn au nmuone dktar ?? Mana nlhs labda itatokea soon or later ila nahs it wonte happen baada ua hli la ndoa maan limetokea recently!!
Vipi uliwahi kufiwa na mtu wako wa karibu,Ulijisikiaje?maana mimi kama daktari nataka kujua kama mshipa wa hisia upo au umekatika
 
eeeh kumbe kuna kijilipia posa🙄,, kwel chai umeunga na kitunguu manjano jaman asubuh yote hii!?

Enewei, hujawah penda mkuu.
Unawahi wapi Ms R asubuhi yote hii? Kweli jamaa ajawahi kupenda zaidi ya kutamani tu coz kwenye kutamani hakuna machungu aliacha au kuachwa
 
Unawahi wapi Ms R asubuhi yote hii? Kweli jamaa ajawahi kupenda zaidi ya kutamani tu coz kwenye kutamani hakuna machungu aliacha au kuachwa
aah choo ipo hatua 100 toka napolala ndoman niliamka,,asubiri kwanza akipenda ndo aje tumshauri upya
 
eeeh kumbe kuna kijilipia posa,, kwel chai umeunga na kitunguu manjano jaman asubuh yote hii!?

Enewei, hujawah penda mkuu.
Mkuu unamaana gan sjaelew kujilipia posa?? Kivip mm nina shda nahtaj msaada hata w mawazo nahis haiko saw
 
Vipi uliwahi kufiwa na mtu wako wa karibu,Ulijisikiaje?maana mimi kama daktari nataka kujua kama mshipa wa hisia upo au umekatika
Kufiwa nilishawah ndy na maumiv nayaskia the same hata nkipoteza hela shda inakuja kwnye mapenz tuh
 
Mi kiingereza chako tu hoi, sasa dogo si ungewasilisha kwa lugha moja tu iliyonyooka maana hata hivyo unavyovichomekea chomekea unavikosea pia, hata kiswahili chenyewe mara ufupishe maneno kha
Ni kwel mkuu mm sio mzuri sana kwnye lugha wala uandishi ila nia yangu ni usaidizi tu kama kuna la kunishaur kwnye tatzo langu nitashukuru zaidi mkuu
 
Mkuu unamaana gan sjaelew kujilipia posa?? Kivip mm nina shda nahtaj msaada hata w mawazo nahis haiko saw
kuna sehem umeandka binti alijitolea mahari sio,,,af ushaur mbon nmesema hujawah penda wew ndoman
 
Ni kwel mkuu mm sio mzuri sana kwnye lugha wala uandishi ila nia yangu ni usaidizi tu kama kuna la kunishaur kwnye tatzo langu nitashukuru zaidi mkuu
Haina shida ndugu yangu, tatizo lako ni dogo na ni la kawaida kwa ambao washakuwa kwenye mahusiano mengi mengi kupoteza upendo na mioyo yao kutawaliwa na Ile hali ya "Ipo siku huyu nae nitaachana nae" kwahiyo inapotokea break up hisia za kuumia haziamki kabisa ukiamini utampata mwengine na maisha yatasonga.
Amini siku utakayosema sasa nataka nitulie, nataka kuoa na jicho lako likaangukia kwa mwanamke mmoja hapo ndipo utakapoanza KUPENDA NA UKITENDWA MAUMIVU YAKE UTAYASIKIA. Karibu kwenye upendo mkuu
 
aah choo ipo hatua 100 toka napolala ndoman niliamka,,asubiri kwanza akipenda ndo aje tumshauri upya
Haha hata kingekuwa Mita 10 tu toka ninapolala hapo ningehama😆😆
Yeah itafika muda tu atapenda na atakuja kulialia humu akipigwa na kitu kizito.....
 
Kwahiyo we unachoenda kukifata kwa daktari ni nini? Akupe dawa ili uumie kwenye mapenzi au
 
Haha hata kingekuwa Mita 10 tu toka ninapolala hapo ningehama😆😆
Yeah itafika muda tu atapenda na atakuja kulialia humu akipigwa na kitu kizito.....
ukienda na kurud usingiz ushaisha,,,tunamsubiri kwa hamu sie waungwana tutamfariji.
 
Salaam sna wna jf familia yetu pendwa.......! Mim ni kijana wa umri wa miaka 33 bado sijaoa nina harakat zngy t za mjini znazonfnya naendlea kuish vzr tu kw mapenz ya mung kwnye hii nchi yetu ya mama kizimkazi.

Ukiachana na matatzo mengne ya kibinadamu nahisi nija shida kwnye hisia zangu kimapenzi

Kiuhalsia sijawahi kuhisi maumivu kuachwa ama kuachana na mtu yeyote nliewah kuwa kimahusiano naye jee hili ni jambo la kawaida??? Au ni pepo la umalaya?

Maana tangu nakua naamza na my first love story sjawah kuhis maumiv pale ambpo nampoteza mtu eidha kw kuacha ama kuachwa namekutana n maneno wtu wng wnasema kama umefkia kipnd ukiachw huumii bas ushakuwa malaya

Wakat hali hyo mm niko nayo nq nmekua nayo sku zote tangu najijua ...!

Hii haimaanisj sipendi au sjapenda bado mana kupenda napenda sana ila ile hali ya kuwa na maumivu endapo
Nikiwa ma breakup huwa nags kam nimepnguziwa mzgo hatakama nilipenda huyo mtu kuplekea sjawah feel the pain
Kwny mahusiano kisa kuachana je hil liko saw kibaiolojia nmekuja kwenu mnisanue wakuu

Kuna muda nahsi kama napoteza au haiko saw kwngu kiakil mana i thnk no matter what hio feeling haitakuj nitokea katu

N sio pia sjawah kuwa cheated nshawah n bnt ambaye nmemtolea mahar kabsa nmuoe two weeks before ndoa namkuta na jamaa ang geto kwke anamkula
Nlmuacha lakn n kw ajil ya ile hal ya kuhis ataendlea kuliwa na jamaa mpka wakat nmemuoa na

Jamii na familia yangu itanchukuliaje na nlkuw nafkria ile pesa yangu ya mahar nkairequest uzur alnpa yeye mwnyw binti nkaflash

Ila mm mwnyw kwnye nafs yng ile maumiv kabsa ya mapenz kama mavyskia kw watu skuyafeel

Sidhan kama ntakuja yafeel na naelkkea kuuacha ujana je this fyn au nmuone dktar ?? Mana nlhs labda itatokea soon or later ila nahs it wonte happen baada ua hli la ndoa maan limetokea recently!!
huu ugonjwa ni mpya kabisa labda jaribu kucheki mfumo wa Neva
 
Back
Top Bottom