Nafix TV ukutani kisasa

Nafix TV ukutani kisasa

franswamj

Member
Joined
May 23, 2014
Posts
96
Reaction score
11
Guys nafix tv ukutani kisasa na bei nafuu sana mwenye kuhitaji anipm, napatikana sinza makabulin au Palestina,
 
Yaani umespecialize kwenye kufix tv ukutani peke yake? Au na mengine mengi yanayohusu ufundi? Sababu kufix TV peke yake naona kama unajibana sana
 
WeKa namba ya simu mkuu..pia onyesha ata sample moja ya kazi yako sio mbaya
 
Guys nafix tv ukutani kisasa na bei nafuu sana mwenye kuhitaji anipm, napatikana sinza makabulin au Palestina,

Tupe tofauti ya kisasa na kizamani. Sio kwamba TV za kisasa zimeandaliwa kuwa fixed kisasa? Je, ina maana hautumii drill?
 
Nipo wilaya ya siha sanya juu huku kijiji cha naibili naomba ufike kesho saa mbili kamili ufix
 
Umekosa kazi hivi hivi. Nina kazi ya kutaka fundi wa kunifungia tv lakini kwa kua hujaweka namba yako basi, pm sitaki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom