Naomba kuuliza jamani zile nafasi za postal controllers za mwaka jana mwishoni ziliishia wapi?maana baada ya written ikawa kimya,au washaita oral?mwenye kujua anijuze please.....ASANTE
Naomba kuuliza jamani zile nafasi za postal controllers za mwaka jana mwishoni ziliishia wapi?maana baada ya written ikawa kimya,au washaita oral?mwenye kujua anijuze please.....ASANTE
mbona tulisha itwa kwenye oral tulifanyia pale posta house ilikua tarehe 8 january 2015,
ila sija jua kama majibu yalikuwa baada hiyi interview, kama kuna mtu labda anazewa kutuambia. Asante sana
I KNOW YOU NEED A JOB. Please link here to get what you need in your life. http://---------------/?ref=66393. You can Make 1200 Dollars Today, Check Job after creating account and log in to your panel.
mbona tulisha itwa kwenye oral tulifanyia pale posta house ilikua tarehe 8 january 2015,
ila sija jua kama majibu yalikuwa baada hiyi interview, kama kuna mtu labda anazewa kutuambia. Asante sana