Nafasi za kazi

Its impossible kwa siku kulipwa hicho kiwango may be uwe na kazi ya kuuza ndege na kwa siku ziwe zinatoka kuanzia tano na kuendelea
 
Wanaotoa matangazo hayo ni matapeli tu maana toka waanze kuyatoa now ni miaka mitatu sasa. wapo magomeni mapipa nyuma ya bank ya DTB(Diamond Trust Bank)
 

kweli kabisa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…