strong gal JF-Expert Member Joined Feb 18, 2014 Posts 271 Reaction score 215 Feb 2, 2016 #1 Samahan wapendwa. Nimeona tangazo la kazi lakini nikipitia kwa website ya NMB sioni hilo tangazo. Je ni kweli hizo nafasi zipo? Hofu yangu isije kua kama tangazo la kazi MCB Attachments 1454417619521.jpg 62.1 KB · Views: 82 1454417676403.jpg 57.6 KB · Views: 85
Samahan wapendwa. Nimeona tangazo la kazi lakini nikipitia kwa website ya NMB sioni hilo tangazo. Je ni kweli hizo nafasi zipo? Hofu yangu isije kua kama tangazo la kazi MCB
M metudi Senior Member Joined Aug 13, 2014 Posts 150 Reaction score 72 Feb 2, 2016 #2 Umelipata kupitia source gani?
B bato JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 3,960 Reaction score 3,476 Feb 2, 2016 #3 Nafasi inaonekana zimeshajazwa,kwa nini zitangazwe kiuwiziwizi? Umeliokota wapi strong gal
D dav22 JF-Expert Member Joined Feb 22, 2012 Posts 1,887 Reaction score 314 Feb 2, 2016 #4 NMB huwa kazi zao mauza uza aisee
strong gal JF-Expert Member Joined Feb 18, 2014 Posts 271 Reaction score 215 Feb 2, 2016 Thread starter #5 Nili likuta kwenye groups za whatsapp