Naelekea kubaya au?

We endelee kuelekea "KUBAYA" maana muda si mrefu utafika "KUZURI".
 
Ingekuwa vyema sana nawe utaje kabila lako ili kuwe na usawa katika mjadala...

Kwa kadiri uonavyo kasoro katika kabila la mwenzako hata la kwako pasi na shaka lina kasoro pia...
 
Ni kasumbaa ambayo imejengeka kwa watuu wamachame sio watu wabaya ..nakushauri oa binti huyooo
 
Ingekuwa vyema sana nawe utaje kabila lako ili kuwe na usawa wa katika mjadala...

Kwa kadiri uonavyo kasoro katika kabila la mwenzako hata la kwako pasi na shaka lina kasoro pia...
Mchaga but sio mmach.m
 

Hana tatizo Mkuu Wewe ' muoe ' tu hasa ukizingatia kuwa ' mnapendana ' mno ila cha msingi tu kabla au baada ya Ndoa yenu jitahidi sana uwaelekeze Ndugu zako wapi ' wakuzike ' kama ikitokea ' umekufa ' ghafla.
 
Hana tatizo Mkuu Wewe ' muoe ' tu hasa ukizingatia kuwa ' mnapendana ' mno ila cha msingi tu kabla au baada ya Ndoa yenu jitahidi sana uwaelekeze Ndugu zako wapi ' wakuzike ' kama ikitokea ' umekufa ' ghafla.
Shindwaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…