Nacte second round washapanga vyuo

Kweli kila kitu Kipo kwenye profile lako nacte wamekuambia wap ukasome
 
Wameniandikia Diploma in Medical Laboratory wakati nilitaka Clinical Medicine.
 
ivi kama umepangiwa medical lab chuo flan, ina faa kubadilisha course ukifka chuo ukaenda clinical medicine
 
Kama umeandikiwa provision wewe unatakiwa kusubiri awamu ya pili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…