Dah..
Hii inasikitisha.
Kwenye capacity, watu waliomba walipoona kuwa na uwezekano wa kupata kozi hizo kwa vigezo kama capacity ya INTAKE ila inapochange kabla hatujachaguliwa inakuwa si jambo jema. Labda iwe ndo tunachaguliwa sasa na hizo capacity changes hazitatuaffect.
Kwa mfano:
kuna Chalii mmoja nimemwombea chuo na leo asubuhi nimeangalia nimekuta kozi tatu zina capacity ya zero na mbili zikiwa na 8,9 respectively.
Kwa hiyo matokeo yatatoka karibu na muda wa kufungua chuo????
inspekta