Mpaka Saiz Kuna Idadi Kubwa Ya Vyuo Imetoa Majina Kama First Batch, Lakini Sijaona Diploma(kama Yupo Anidhibitishie) Aliechaguliwa Kwenye Hivyo Vyuo Na Wala Taasisi Zinazohusika Hazisemi Lolote.
Sasa Je Diploma Yatatolewa Kama Second Batch?, Yatatolewa Kivyake Au Ndo Ishakula Kwao?
Majibu Samahani