Nacte huchukua muda gani kutoa Academic transcripts

mkata kamba

Member
Joined
Apr 4, 2017
Posts
9
Reaction score
6
Habarini wana JF, naombeni kujua Balaza linalosimamia elimu ya ufundi Tanzania Nacte huchukua muda gani adi kuja kuzitoa Academic transcript?
msaada wenu jamani
 
Kwajinsi navyo elewa kulongana na taarifa zao Ni Massa 70 na mawili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…