Mzigo safi wa karoti uko tayari

maharage ya ukweni

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
1,493
Reaction score
3,382
Salaam!
Mali iko tayari mzigo ni kwa bei ya jumla na reja reja kwa madalali na watumiaji wa mwisho.
Kitalu kizima kinachotoa viroba 18-20 vya kilo mia bei ni 1600000
Kilo moja 1Kg ni shilingi 700 Kwa bei ya jumla na 900 kwa bei ya reja reja. Vitalu vipo saba.
Mawasiliano ni 0687 547474
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…