Hayo ndio matokeo ya AKILI NDOGO KUONGOZA AKILI KUBWA. Nimemuona yule mzee ALISHA BINAFSISHA AKILI YAKE ili apate mkate wake wa kila siku.
Katika historia ya siasa za Tanzania, sijawahi kufundishwa hilo jina kwamba nalo ni moja ya wanasiasa Tanzania. Mzee Kingunge naye watamuita nani?