Huyu hajakutana na vichaa, kuna jamaa alikuja na dem wake chuo alimuomba mshikaji ampishe tulikuwa tunaita kupiga exile, mwenzake alikataa. Kilichofuata gemu lilianza kitanda cha chini wakati mshikaji kajikausha deka la juu mbona aliondoka mwenyewe, miguno ya demu ilimuondoa bila kupenda