Mwinyi Zahera ni kocha bomu

Kwa hiyo guardiola ni kocha bomu kwakuwa kafungwa na kocha wa norchwich yenye bajeti ndogo??
 
Weka na kikosi cha Ud songo au kikosi cha mashujaa
 
Kwa hiyo guardiola ni kocha bomu kwakuwa kafungwa na kocha wa norchwich yenye bajeti ndogo??

guardiola hafungwi kila siku..

kwa timu yenye kikosi cha bei nafuu.. mishahara ya wachezaj nafuu na hawalipwi kwa wakati... kocha aliyeweza kuifanya timu maskini kumaliza ligi ya pili ni kocha mzuri.. kocha alieifanya yanga mpaka leo bado inacheza champions league ni kocha bora.. timu kibao zimetolewa wakiwemo wenye kikosi cha mabilioni
 
Kwa
Kwa hiyo zahera ni bora kuliko kocha wa mabilioni???
 
Yanga kombe letu ni klabu bingwa afrika au shirikisho afrika, hilo kombe la mchangani vodacom simba tangazeni ubingwa hata mwezi huu sisi yanga hatulitaki tumeshachoka kulichukua
Nimekuelewa...kwa hio unasubiri mbeleko tena mwaka huu ili mwakani ucheze klabu bingwa. Akili nyingine buana
 
Ila tumpe muda Zahera kama Simba walivyoitengeneza timu kwa miaka 5 then baadae wakabeba ubingwa na kufika robo fainali ya CAF.
Kama Simba walitengeneza timu mbona sasa ni watazamaji tu? Uzuri wao uliishia wapi? Mi nawashauri Simba wanunue sana mechi ili mwakani warudi, au wajitahidi kwenye FA, wajihadhari na Green Worriors na Mashujaa.
 
TEAM YAKO IMETOLEWA NA UD SONGO ...UD SONGO team mbovu umetolewa ...yanga ipo ipo sana ...huo ushauri ungempa kocha wenu wa simba ...kutwa kumuwaza zahera na yanga .............UD SONGO amewatia kiwewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…