Mwigulu acheza rafu ubunge Iramba

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,600
Amekuwa akitumia wapambe zaidi ya 400 na bodaboda 100 katika kampeni za kura ya maoni. Wagombea wenzake wa Iramba magharibi wakiongozwa na Jairo na Kilimba wamedai anachofanya mwenzao ni kinyume cha utaratibu, so wametishia kususia zoezi la kura kama chama hakitachukua hatua!

Chanzo: Star Tv Habari.


========

 
Wajiunge na ukawa ili mbinu ya tukose wote ifanye kazi vizuri maana huyu jamaa toka atupe ile bajeti mbadala ya upinzani yaani sitakagi hata kumsikia.
 
Mijitu haina aibu inaongozwa na shetani. Moral authority Jairo anaipata wapi ya kuchukia maovu! Shetani mkubwa
 

Hizo ndio harakati za kurudi mjengoni akili ya ziada lazima itumike
 
Wasijali atakatwa tuu, kama hafuati taratibu za chama, kile kiwembe kilichotumika kumkata kwenye ugombea wa urais kitampitia kwa mara ya pili.
 
Jairo ujanja wake wote ameshindwa na huyu jambazi Mwigulu kutoa rushwa? hizo pesa alizoiba wakati alipokuwa Katibu mkuu wa wizara zimeenda wapi. Kweli ccm bila ya rushwa hupati uongozi. chama cha wahuni sio chama wa wakulima na wafanyakazi ni cha wafanyabiashara
 
Kwanza yeye mwigulu si alisema arudi tena kugombea ubunge...anarud kutumikia chama !! sasa imekuwaje sasa???
 



Chama cha wahuni ni kile ambacho kiongozi wake amapewa bil.10 kama hongo ili amkaribishe fisadi.


www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/889671-mbowe-amkaribisha-rasmi-lowassa-chadema-43.html#post13396149
 
Hata hapa JF Mwigulu kesha cheza faulu kwa kuja na ID yake nyingine na kusema wagombea wenzake wamejitoa baada ya kuona Mwigulu ni maji marefu. Shida sana Mwigulu.
 
Kuna mtu kanitumia hii kwamba Jairo, Killimbah, Gyunda wamegomea mchakato kura za maoni ubunge Iramba, wamemtaka Katibu CCM Wilaya kuacha kumbeba kwa mbeleko Mwigulu Mchemba.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…