Mi mwenywe nimekutana nayo nikabaki mdomo wazi mkuu stanluva ila nikasema acha nirushe kwenye jukwaa letu labda atapata msaada zaidi. Nafikiri labda ni uwoga au anataka achague sana. Ila naona kama anataka kurahisisha kazi kwa kupata wale ambao nao wako search kama yeye