dear members, nauliza mwenye taarifa kuhusu zile kazi za nhif zilizotangazwa karibu na mwishoni mwa mwaka jana kama wameshafanya shortlisting! mwenye kuwa na taarifa tufahamishane tafadhali....
Kuna sehemu ukiaply unatakiwa uendelee kufunga na kuomba,BOT,NSSF,TANAPA,TRA,NHIF,TCRA.Ukiaply huko fanya kama mpanzi aliepanda mbegu shambani wewe subiri uone kama zitaota tena usubiri bila kupiga kelele
Kuna sehemu ukiaply unatakiwa uendelee kufunga na kuomba,BOT,NSSF,TANAPA,TRA,NHIF,TCRA.Ukiaply huko fanya kama mpanzi aliepanda mbegu shambani wewe subiri uone kama zitaota tena usubiri bila kupiga kelele