Mwenye kuzijua simu za infinity!

Zinauzwa ngapi?
Huku upande wa kaskazini zipo nyingi muda mrefu zinatokea kenya naona ni rahisi kuzipata huku na pia bei yake itakua ipo chini sijui kwa sasa tunapoleke kileleni kwa kuzimwa simu nahisi wafanya biashara watakua wanapiga cha juu kidogo ila zilikwepo kwa wingi
 
Zinauzwa shilingi ngapi?
 
Leo katika pitapita zangu nkakutana na hizi simu..INFINIX SMARTPHONES..wenye kuzijua...kweli hizi simu sio za mwezi june...TCRA??
Je, vipi kuhusu ubora na uimara wake...??
Naomba kuwasilishaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…