Leo katika pitapita zangu nkakutana na hizi simu..INFINITY SMARTPHONES..wenye kuzijua...kweli hizi simu sio za mwezi june...TCRA??
Je, vipi kuhusu ubora na uimara wake...??
Naomba kuwasilishaa
Umeshindwa kuielewa sms ya TCRA , hilo tatizo sio kwako tu, wapo wengi wanaVerify hata nokia tochi OG, then wanasema ni feki kwa kushindwa kuielewa meseji ya TCRA
Leo katika pitapita zangu nkakutana na hizi simu..INFINITY SMARTPHONES..wenye kuzijua...kweli hizi simu sio za mwezi june...TCRA??
Je, vipi kuhusu ubora na uimara wake...??
Naomba kuwasilishaa