Mwenye kumfahamu mganga bingwa na mkweli pale Njombe, Makete atusaidie tunashida

Niambie kwanza.Kama unaenda kuwaloga CCM wote nakutumia namba za simu muda si mrefu.
 
liwundasanga kutoka......
 
Mimi natamani sana kuiona hiyo nchi ya Jangwani ya chumvi isiyokaliwa na watu.
 
Kuna mmoja alikuwa hapo njombe sehemu moja panajulikana kama "KWA RUFYONGO" na alijulikana kama PAKASI YA BOMBO alikuwa maarufu sana sasa sijui kama bado yupo,hebu wacheki pipo wa hiyo mitaa nadhani watakupa ushirikiano mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…