Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 34,456
- 55,204
Niambie kwanza.Kama unaenda kuwaloga CCM wote nakutumia namba za simu muda si mrefu.Wana JF
Nawaombeni msaada kuna shida moja tunahitaji ufumbuzi wa tatizo lililopo, naomba msaada kwa wanaomfahamu MGANGA BINGWA ambaye sio mbabaishaji pale MAKETE huko njombe atuasidie hata kama una namba zake mtu saidie. unaweza ukanitumia au kunielekeza inbox akama unaona hapa watakufahamu ukitoa ushauri.
Natanguliza shukrani za kipekee.
TAFADHALI TUSITUKANE WALA KUKEJELI KILA MTU ANAYAKE MATATIZO. Kama haikuhusu afadhali ukae kimya.
liwundasanga kutoka......Wana JF
Nawaombeni msaada kuna shida moja tunahitaji ufumbuzi wa tatizo lililopo, naomba msaada kwa wanaomfahamu MGANGA BINGWA ambaye sio mbabaishaji pale MAKETE huko njombe atuasidie hata kama una namba zake mtu saidie. unaweza ukanitumia au kunielekeza inbox akama unaona hapa watakufahamu ukitoa ushauri.
Natanguliza shukrani za kipekee.
TAFADHALI TUSITUKANE WALA KUKEJELI KILA MTU ANAYAKE MATATIZO. Kama haikuhusu afadhali ukae kimya.
Nazareethiiiii mkuuAnapatikana maeneo gani kwa pale Njombe
kutoka wapiliwundasanga kutoka......
Wee ni fara
Yeye kasema anataka mganga kutoka NJOMBE au MAKETE siyo kutoka NAZARETI! Elewa swali kabla ya kujibu kiongozi!
Anapatikana wapi NJOMBE au MAKETE?YESU NDIO MGANGA MKUU
Mimi natamani sana kuiona hiyo nchi ya Jangwani ya chumvi isiyokaliwa na watu.Yeremiah 17:5-6
BWANA asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha BWANA.
Maana atakuwa kama fukara nyikani, Hataona yatakapotokea mema; Bali atakaa jangwani palipo ukame, Katika nchi ya chumvi isiyokaliwa na watu.
Bado Naendelea Kujifunza
Mtoa mada hajazungumzia kuhusu ugonjwa sasa aponywe nini?Mnajipeleka kwenye mdomo wa mamba, mtafuteni Yesu Kristo pekee, yeye ndiye mponyaji wa kweli.
Watu wanasema usimwamini mwanadamu ila wanamwamini mmiliki wa JF ha ha ha ha
nipale unapoamua kutokula nyama unakunywa supu yake tu
Ujaitwa kwani umeambiwa utoe mawaidhaTubu dhambi ya ushirikina
Yuko njombe au