B baba glory JF-Expert Member Joined Jan 22, 2016 Posts 292 Reaction score 213 Jul 29, 2019 #1 Habari wakuu, Mwenye hii adaptor hapa chini naomba aniuzie, hii imeungua na mashine imeisha chaji nashindwa jinsi ya kuichaji.
Habari wakuu, Mwenye hii adaptor hapa chini naomba aniuzie, hii imeungua na mashine imeisha chaji nashindwa jinsi ya kuichaji.
Eng Kahigwa JF-Expert Member Joined Feb 18, 2014 Posts 783 Reaction score 632 Jul 29, 2019 #2 baba glory said: Habari wakuu, Mwenye hii adaptor hapa chini naomba aniuzie, hii imeungua na mashine imeisha chaji nashindwa jinsi ya kuichaji.View attachment 1166529View attachment 1166531 Click to expand... Ingekuwa vyema kama ungepost na plug ya ku-connect kwenye pc.
baba glory said: Habari wakuu, Mwenye hii adaptor hapa chini naomba aniuzie, hii imeungua na mashine imeisha chaji nashindwa jinsi ya kuichaji.View attachment 1166529View attachment 1166531 Click to expand... Ingekuwa vyema kama ungepost na plug ya ku-connect kwenye pc.
madindigwa JF-Expert Member Joined Aug 30, 2017 Posts 2,498 Reaction score 2,927 Jul 29, 2019 #3 Ni ya nini mkuu
slimdaddy 1993 JF-Expert Member Joined Jan 1, 2019 Posts 212 Reaction score 138 Jul 29, 2019 #4 soma output voltage ni ngp then nitakusaidia au pm me
B baba glory JF-Expert Member Joined Jan 22, 2016 Posts 292 Reaction score 213 Jul 31, 2019 Thread starter #5 slimdaddy 1993 said: soma output voltage ni ngp then nitakusaidia au pm me Click to expand... Mkuu output voltage in 9.0V na current ni 1.0A kama unayo nipigie 0789 90 23 45
slimdaddy 1993 said: soma output voltage ni ngp then nitakusaidia au pm me Click to expand... Mkuu output voltage in 9.0V na current ni 1.0A kama unayo nipigie 0789 90 23 45
B baba glory JF-Expert Member Joined Jan 22, 2016 Posts 292 Reaction score 213 Jul 31, 2019 Thread starter #6 madindigwa said: Ni ya nini mkuu Click to expand... Mashine ya Selcom, nimewasiliana nao wanadai hawana sasa biashara imesimama maana mashine imeishiwa moto.
madindigwa said: Ni ya nini mkuu Click to expand... Mashine ya Selcom, nimewasiliana nao wanadai hawana sasa biashara imesimama maana mashine imeishiwa moto.
B baba glory JF-Expert Member Joined Jan 22, 2016 Posts 292 Reaction score 213 Jul 31, 2019 Thread starter #7 etkahigwa said: Ingekuwa vyema kama ungepost na plug ya ku-connect kwenye pc. Click to expand... Hii ni adapta ya SELCOM wireless machine aina ya PAX S90 mkuu sio ya PC
etkahigwa said: Ingekuwa vyema kama ungepost na plug ya ku-connect kwenye pc. Click to expand... Hii ni adapta ya SELCOM wireless machine aina ya PAX S90 mkuu sio ya PC
yello masai JF-Expert Member Joined Jan 8, 2016 Posts 3,901 Reaction score 4,130 Jul 31, 2019 #8 Vipi ukichukua adapter yoyote uakakata ile plug ya kuchomekea kwenye hiyo mashine ukaunga hiyo yako? Sijui umenielewa?
Vipi ukichukua adapter yoyote uakakata ile plug ya kuchomekea kwenye hiyo mashine ukaunga hiyo yako? Sijui umenielewa?
B baba glory JF-Expert Member Joined Jan 22, 2016 Posts 292 Reaction score 213 Aug 1, 2019 Thread starter #9 Shida ni hapo kwenye ouput units mkuu nikipata unayotoa hivyo vipimo hapana shida yello masai said: Vipi ukichukua adapter yoyote uakakata ile plug ya kuchomekea kwenye hiyo mashine ukaunga hiyo yako? Sijui umenielewa? Click to expand...
Shida ni hapo kwenye ouput units mkuu nikipata unayotoa hivyo vipimo hapana shida yello masai said: Vipi ukichukua adapter yoyote uakakata ile plug ya kuchomekea kwenye hiyo mashine ukaunga hiyo yako? Sijui umenielewa? Click to expand...
slimdaddy 1993 JF-Expert Member Joined Jan 1, 2019 Posts 212 Reaction score 138 Aug 24, 2019 #10 sorry nlichelew kuon reply mkuu kma haujapat nitext pm
ommylufungo Member Joined May 25, 2017 Posts 42 Reaction score 28 Jun 15, 2020 #11 slimdaddy 1993 said: sorry nlichelew kuon reply mkuu kma haujapat nitext pm Click to expand... Bado unayo charger nichek 0717498954
slimdaddy 1993 said: sorry nlichelew kuon reply mkuu kma haujapat nitext pm Click to expand... Bado unayo charger nichek 0717498954