Huyu jamaa nilikuwa namkubali sana! Lakini pia nahisi alianza kutumia madawa mapewa sana akingali anawika kimziki, miaka ya 2005 alikuja Moro nilivyoumuona nikajua huyu jamaa anaelekea kubaya! Ila nilikuwa fan wake aisee, "Dazi baba nishakuwa mtu mzima mieee"