Mwanaume utakubali!?

livewise1

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2019
Posts
837
Reaction score
968
Wa salaam JF

Una watoto watatu umri wao juu ya miaka 15.
Ukasikia mkeo akisema kuwaambia watoto hana uhakika kama baba ni wewe au sio wewe!!

Maneno yakafika kwa ndugu na wazee wa pande zote mbili!
Likaja shinikizo la kupima DNA, utakubali kupima!? Au bora ndoa ife tu!?

(Kupima DNA ni njia ya aidha kunusuru ndoa au kuvunja ndoa!)

NB; wewe binafsi hujawahi kuhisi kuwa watoto sio wako na wala hujawahi kufikiria habari za kupima DNA!
 
Mm binafsi jambo kama hili ni hadi linikute ndio nijue nitafanya nn. Hapa naweza ujimwambafai tu ila uhalisia ukinikuta naweza fanya tofauti
 
Kwanza mwanaume unaanzaje kukaa na mwanamke zaidi ya miaka 2
Sjui kwa wenzangu ila mimi nikiishi na mwanamke miez 11 huyo ni ninja mkomavu........hakuna mwanamke atatoboa na mimi zaidi......unakwepa ujinga kama huo uliolizwa hapo juu
 
NNa
Nakubakli Vimeo sitaki!
 
Hela inisumbue kutafuta na DNA za kujua watoto kama ni wangu !!!???
Huo muda mchafu hapana.
Awe wangu asiwe wangu mm nalea.
 
Kwanza mwanaume unaanzaje kukaa na mwanamke zaidi ya miaka 2
Sjui kwa wenzangu ila mimi nikiishi na mwanamke miez 11 huyo ni ninja mkomavu........hakuna mwanamke atatoboa na mimi zaidi......unakwepa ujinga kama huo uliolizwa hapo juu

Okay
 
Shinikizo???? Utakuwa bwege kabisa kama unangojea kushinikizwa.

Siku ukipata mashaka tu kuwa inawezekana sio wako ni afadhali ufanye utaratibu wa kuhakikisha kama kweli ni wako.

Kujua ni bora kuliko kutokujua na kamwe haujachelewa kuanza upya.
 
Napima DNA, nikijua siyo wangu bismilah, watoto hawana kosa nazidisha bond nao, mama yao na mimi inakua kitim tim, inapigwa divorce moja, libeneke linaendelea na mapapa mengine ya mjini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…