Tatizo umebagua, ungesema tu kuwa mm nipo HIV+ ninaitaji mwenza wa kiume umri flan bas, lakin ulivyosema mwanaume HIV+ inamaana wanaume walio negative wenye nia na ww umeisha wawekea boundary
mungu akubless mwaka huu usiishe bila kutenda miujiza, basi neno lake linasema "njooni kwangu nyote wale wenye kulemewa na mizigo mizito nami nitawatua" basi umeshatuliwa mzigo na njia yako ni nyepesi.
mungu akubless mwaka huu usiishe bila kutenda miujiza, basi neno lake linasema "njooni kwangu nyote wale wenye kulemewa na mizigo mizito nami nitawatua" basi umeshatuliwa mzigo na njia yako ni nyepesi.