kuna haka katabia ka kusema kuwa nimemfumania baba fulani, mara ooh nimemfumania fulani na binti wa fulani.Ukweli ni kwamba mwanaume hafumanwi ila anakutwa.
Hii inamaanisha kuwa mwanaume ndio anatafuta mke,kwahiyo anatakiwa kufanya majaribio ya mke aliye mwema.Anayefumaniwa ni mwanamke peke yake