Shukrani kwenu wakuu kwa msaada wa mawazo!
I promised to take care of him since yuko tumboni, nitatumia gharama zozote kuhakikisha anapata tiba.
Nisaidieni contact za Dr anayeweza kunisaidia, popote pale alipo.
Nawashukuru sana wakuu!
Shukrani kwenu wakuu kwa msaada wa mawazo!
I promised to take care of him since yuko tumboni, nitatumia gharama zozote kuhakikisha anapata tiba.
Nisaidieni contact za Dr anayeweza kunisaidia, popote pale alipo.
Nawashukuru sana wakuu!
In the mean time wakati unatafuta ufumbuzi kwa daktari wa watoto au daktari wa ngozi....acha au punguza matumizi ya pampers especially kama zinakaa muda mrefu, huwa zinasababisha 'nappy rash', au pia inaweza akawa na allergy material ya hizo pampers. Mvishe nappy za kawaida za cotton lakini uwe makini kumbadilisha haraka mara tu anapojisaidia, kisha unafua vizuri na kuanika ikauke kabisa kabla ya kumvisha tena.
.......pole sana kamuone Dr wa magonjwa ya ngozi, pale upanga jirani na muhimbili kuna clinic ya Dr matthew. Huyu Dr ni bingwa wa magonjwa ya ngozi anaweza kukusaidia.
My youngest son is 10 m.o,miezi miwili sasa anasumbuliwa na vipele sehem za makalio, vidogovidogo sana - kama ukurutu vile! Vinamuwasha sana, hasa wakati wa usiku-anajiuna mpaka usingizi unapompitia, na akishtuka tena analia na kujikuna. Tumeenda hospial mara kadhaa, kila tukipewa dozi akimaliza tatizo haliishi (three times, different med!!). Kuna dawa ya kupaka ambayo tulishauriwa na dr tuwe tunampaka sambamba na dawa za kumeza: dawa hizi zinamsaidia sana kuondoa vipele, lakini dozi ikiisha tusipompaka hali inarudi vilevile, im worried! Wakuu, hii inaweza kuwa nini? Wataalamu ushauri tafadhali!
Afya yake iko poa sana tu, tatizo anapoanza kuwashwa tu: amani yake na yetu sisi wazazi inakwisha kabisaa!!!
Heelp!