Mwanamke kifua bwana!!

Siri ya sifuri

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
2,580
Reaction score
2,224
Mwanamke kifua bwana!!kwangu Mimi ndivyo nionavyo, Msambwanda hata Nyani anao!! Msichana mwenye kifua chenye upana wa wastani, matiti yaliyovimba kiasi, awe mrefu au mfupi, mnene au mwembamba anavutia sana, si hayo tu, hata akibahatika kupata mtoto, bado kifua chake kitaonekana kuwa imara na baba na mwana watafurahia kwa kupokezana kubweda bila kero. Nashangaa ninapoona wavulana na mwanaume wenzangu wanaposhindana kulisifia kalio!! Mnatafuta nini huko!? Nyote mwajua nyuma sio kuzuri kwanini mnakuandama!?

Na wale kidada wanaotembea na kujitingisha nyuma lengo lenu ni nini hasa!!? Tukihamasika mtatupa, unamkuta mdada flat kabisa lakini kajibinua kama kapigwa jeki ili aonekane anakijungu, hamuoni hatari kulitangaza eneo hilo!?Tubadilikeni jamani, mbele ndio halali yetu na ndio nchi SALAMA, nyuma hatari hakufai. (Nb, Samahani sana kwa nitakao wakwaza)
 
Moja ya kitu nilikuwa natamani ni kuwa na ziwa kubwa kubwa hivi lakini nilikuwa najiuliza nalipataje manake nikijiangalia naona sina dalili ya kuyamiliki makubwa nayoyataka until i met this rafiki akanipa mbinu ya kulifanya liongezeke kidogo

Ndio kama hivi sa hivi ninalo hata nikivaa naonekana angalau
 

Joanah!!!
 
Mkuu Nimeshusha Vyeo Yaan Msambwanda Ambao Ni Ugonjwa Wa Wengi Unauchukulia Poa Kias Hicho, Kweli Asiejua Maana Haambiwi Maana
Pia Nahisi Wew Ni Mwanavme Yale Matoleo Ya Zaman Ndo Hawakuupa Kipa Umbele Sana Msambwanda
 
Weka picha tutaamini vipi sasa
 


Njia gani hyoπŸ˜…!
 
Hahahaha
 
Mbona ziwa kubwa unalo ziwa Victoria ..
 
na tako je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…