Mwalimu wa Karate, Anahitajika

Mwalimu wa Karate, Anahitajika

Djuba

Member
Joined
Mar 7, 2016
Posts
19
Reaction score
9
Salaam,
Ninahitaji mtu anayejua karate vyema ili anifundishie vijana wangu aged 7 & 12.
Hii ni katika kuwaweka fiti ili mtu akiwazingua huko mashuleni ama popote waweze kujitetea vyema.

Self defense nimeona iwe muhimu sana kuwa installed kwa wanangu. Hivyo iwapo wewe ni mkufunzi mzuri, naomba tuwasiliane haraka iwezekanavyo.

Mahali: Dar (Kinondoni)
Muda: Nahitaji kwa kipindi hiki cha mwezi December, kwani wapo likizo (tutaona pia namna ya kuongeza muda)
Malipo: Taja bei na ni mara ngapi kwa week utafundisha.

Pa1.
 
Hii ilikuwa wazo langu pia kwa mwezi huu Wa December. Ninao vijana wawili na wengine watatu wa jirani. Mimi nipo Kigamboni. Waalimu Wa Karate wajitokeze tukubaliane
 
Mh sasa, mwezi mmoja watagain cha maana kweli!!!
 
Mh sasa, mwezi mmoja watagain cha maana kweli!!!

Ndo maana nikasema tutaona maendeleo yao...ikilazimu hata watapofungua shule basi tutaendelea na ratiba for weekends....thanks for your concern though...!
 
Muhimu sana kwa vijana wa Dar, maana Dar imezidi kuzalisha wanaume wa hovyo hovyo sana
 
Karate

Kwanza ukitaka kujifunza wapeleke kwenye dojo.

Pili karate kuna kata ,ss mwezi unataka mwanzo awe fiti hatari..unajidanganya..unaanza basics

Mimi nimecheza mpaka kata ya 3 Hiean sandan lkn bado najiona mtupu


Kwa mwezi mwanao wajidanganya atakuwaanafunzwa stances,na basics ndio aingie kwenye kata
 
krav maga technics ambazo unaweza kujifunza ndani ya hizo wiki nne na ukawa fit jambo la msingi ni kuendelea kuzifanyia mazoezi ili kupata uzoefu zaidi.
 
Yupo dogo mmoja yuko vr nichek hapa nikuunganishe nae0712525280
 
Karate

Kwanza ukitaka kujifunza wapeleke kwenye dojo.

Pili karate kuna kata ,ss mwezi unataka mwanzo awe fiti hatari..unajidanganya..unaanza basics

Mimi nimecheza mpaka kata ya 3 Hiean sandan lkn bado najiona mtupu


Kwa mwezi mwanao wajidanganya atakuwaanafunzwa stances,na basics ndio aingie kwenye kata


Boss, sio kwamba mafunzo haya lazima yawe contained ndani ya mwezi 1 tu...hapana...nimesema december hii waanze kwa sbb wapo likizo na hivyo kupata siku nyingi za kuwafunza. Pili baadae wanapofungua shule, tutaangalia namna ya kutumia weekends. Ki-ujumla ninachohitaji ni kuwaweka fiti tu...sio kwa ajili ya kwenda kugombana...ni waweze jitetea wanapohitaji...kumbuka hawaendi kufanya Karate ili kupata tuzo...so mie ntafuata ushauri wa mkufunzi.
Asante kwa mchango wako pia.
 
krav maga technics ambazo unaweza kujifunza ndani ya hizo wiki nne na ukawa fit jambo la msingi ni kuendelea kuzifanyia mazoezi ili kupata uzoefu zaidi.



Unamfahamu mtu anaeweza kuwafundisha? Thx
 
Mkuu mimi binafsi niliwahi kuanza haya MAZOEZI hasa mchezo mmoja unaitwa wo shu nilikuwa pale jengo LA CCM ilala sokoni pale kila siku jioni Kwa mwezi nilimpa 30000 baadae kidogo mwalim wangu akarudi kwao tanga nikaachwa kwenye mataa.. Nili Piga mwezi mmoja tu Kwa Sasa niko TAYARI kurudia so ukipata mwalim mzuri Naomba uni pm nianze MAZOEZI na madogo zako. Kuna moja naifahamu pale manzese Ila huyo mwalim Wao mhuni Sana so siwez kukushauri pale.. Asante
 
krav maga technics ambazo unaweza kujifunza ndani ya hizo wiki nne na ukawa fit jambo la msingi ni kuendelea kuzifanyia mazoezi ili kupata uzoefu zaidi.
Ni martial arts za kiizraeli.. Wapi ntapata mwalimu mzuri.hata Kwa hapa Dsm
 
Salaam,
Ninahitaji mtu anayejua karate vyema ili anifundishie vijana wangu aged 7 & 12.
Hii ni katika kuwaweka fiti ili mtu akiwazingua huko mashuleni ama popote waweze kujitetea vyema.

Self defense nimeona iwe muhimu sana kuwa installed kwa wanangu. Hivyo iwapo wewe ni mkufunzi mzuri, naomba tuwasiliane haraka iwezekanavyo.

Mahali: Dar (Kinondoni)
Muda: Nahitaji kwa kipindi hiki cha mwezi December, kwani wapo likizo (tutaona pia namna ya kuongeza muda)
Malipo: Taja bei na ni mara ngapi kwa week utafundisha.

Pa1.
Lakini usianze kuwafugisha midevu tu.
 
Kipindi cha mwezi mmoja ni vigumu kijana kuwa unavyofikiria, kwa sababu mwezi mmoja anajifunza miezi mitatu mpaka minne kama sio mitano hatafanya kitu.
Lakini kuna madarasa ya holidays na weekend karibu
 
Back
Top Bottom