Habari,
Mimi ni mhitimu wa degree mwaka huu(2015) chuo cha St Johns University of Tanzania kwa course ya bachelor of Commerce with Education na ninafundisha book-keeping pia commerce.
Naomba msaada wa kupata shule inayohitaji mwalimu wa masomo ya biashara, nina uzoefu wa miaka takribani mitatu kufundisha masomo hayo.
asante kwa ushirikiano wako.