Wewe bila Historia Ungefika hapo Ulipo? Hivi Unajua Umuhimu wa Historia ktk Kufanya Analysis na Evaluation? Watu Wote Wenye Akili Kubwa na Za Juu Sana Huzingatia Mno Historia Ya Jambo au Kitu Fulani ktk Kutaka Kupiga Hatua Ya Kwenda Mbele. Nina Mashaka na UPEO WAKO WA KUFIKIRI! Division Five System bado haijawa Implemented Upo Hivyo Je Ikianza Utakuwaje? Mimi Mtumwa wa Historia Je Wewe ni Mtumwa wa Nini? UMBUMBUMBU AU?
Mapema ivo blaza?
atakuumiza kichwa huyo bradha.Gentamycine umekuwa na mengi kama jina la dawa uliloandika ,, mi nimejaribu tu kusema na kuweka wazi kile alichofanya mwagane yeya na kumpa tu ushauri , na pia kumpongeza , hakatazwi kwenda yanga wala simba kwa maslai yake .
Subirini Wenye Mpira Wao ( Simba na Yanga ) Warudi Round Ya Pili wa Mzunguko ndiyo Mtajua Kuwa Soka la Nchi hii Limetawaliwa na Timu Hizo Kubwa Mbili na Huyo Mwagane Wenu Atapotezwa Vibaya Mno. Hivi Jiulizeni tu Hiyo Mbeya City Yenu Imefikia Rekodi Ya Timu Hizi: Pamba FC, Sigara SC, Nyota Nyekundu FC, Mecco FC, Reli Ya Morogoro, Kajumulo FC, Tanzania Stars FC, Moro United na Mkwara wa Oljoro FC ilipoingia Ligi Kuu Mwaka Juzi? Mbona Hatuhifazi Kumbukumbu ili Tuje na References za Kutosha? Hebu Niambie ktk Jamii Yetu Kuna Nani Ambaye Hayupo ktk Timu Moja Kubwa Kama Simba na Yanga? Mkae Mkijua Kuwa Simba na Yanga Ni Taasisi Kubwa na Zina Ushawishi Mkubwa Mno ktk Jamii Yetu ndani na Mpaka Nje Ya Tanzania na Nakumbuka Maoni Ya Super Sports Senior Presenter and Soccer Analyst Mr. Thomas Mlambo aliposema Kuwa Afrika Kuna Derbies Nyingi Akatolea Mfano wa Kwao Afrika Ya Kusini Kaizer Chiefs na Orlando Pirates, Asante Kotoko na Hearts of Oak Nchini Ghana, Zamalek na Alhahly Nchini Misri, Darling Club Motema Pembe na Toup Puisant Mazembe Nchini DRC, APR na Rayon Sports Nchini Rwanda, SC Villa na Express Nchini Uganda na Gor Mahia na FC Leopards ILA DAR ES SALAAM DERBY Ni Kiboko na Msiojua Zikichezwa Mechi na Watani wa Jadi Tanzania hata Nchi za Wenzetu Husisimuka na Kufuatilia MTANANGE Huo. Simba na Yanga Ni Zaidi Ya Ufikirivyo na Hiyo Mbeya City Yako hebu Kaifananishe na ------ ( MAKALIO ) FC Ya Huko Kwenu UNYARUGUSUNI.
Subirini Wenye Mpira Wao ( Simba na Yanga ) Warudi Round Ya Pili wa Mzunguko ndiyo Mtajua Kuwa Soka la Nchi hii Limetawaliwa na Timu Hizo Kubwa Mbili na Huyo Mwagane Wenu Atapotezwa Vibaya Mno. Hivi Jiulizeni tu Hiyo Mbeya City Yenu Imefikia Rekodi Ya Timu Hizi: Pamba FC, Sigara SC, Nyota Nyekundu FC, Mecco FC, Reli Ya Morogoro, Kajumulo FC, Tanzania Stars FC, Moro United na Mkwara wa Oljoro FC ilipoingia Ligi Kuu Mwaka Juzi? Mbona Hatuhifazi Kumbukumbu ili Tuje na References za Kutosha? Hebu Niambie ktk Jamii Yetu Kuna Nani Ambaye Hayupo ktk Timu Moja Kubwa Kama Simba na Yanga? Mkae Mkijua Kuwa Simba na Yanga Ni Taasisi Kubwa na Zina Ushawishi Mkubwa Mno ktk Jamii Yetu ndani na Mpaka Nje Ya Tanzania na Nakumbuka Maoni Ya Super Sports Senior Presenter and Soccer Analyst Mr. Thomas Mlambo aliposema Kuwa Afrika Kuna Derbies Nyingi Akatolea Mfano wa Kwao Afrika Ya Kusini Kaizer Chiefs na Orlando Pirates, Asante Kotoko na Hearts of Oak Nchini Ghana, Zamalek na Alhahly Nchini Misri, Darling Club Motema Pembe na Toup Puisant Mazembe Nchini DRC, APR na Rayon Sports Nchini Rwanda, SC Villa na Express Nchini Uganda na Gor Mahia na FC Leopards ILA DAR ES SALAAM DERBY Ni Kiboko na Msiojua Zikichezwa Mechi na Watani wa Jadi Tanzania hata Nchi za Wenzetu Husisimuka na Kufuatilia MTANANGE Huo. Simba na Yanga Ni Zaidi Ya Ufikirivyo na Hiyo Mbeya City Yako hebu Kaifananishe na ------ ( MAKALIO ) FC Ya Huko Kwenu UNYARUGUSUNI.
haya yote ni sababu ya hat trick ya mwagane yeya..
mkuu mambo ya umri wa wachezaji wetu usiwe unauliza utaishia kudanganywa tu ukute ataitwa U17 TEAM
Mkuu katika vitu vilivyofanya nisikitike ni taaluma yake, ukiangalia ye aliyakiwa awe mchezaji siku nyingi, mfumo wetu hautoi nafasi ya kuendeleza na kukuza vipaji, pata picha kama toka udogo wake angelelewa na kukuzwa kisoka kwenye academy maalum angekuwa wapi?, kama ni mwalimu manaake kweli atakuwa na 23yrs na zaidi, ina maana muda wote kipaji chake kilikuwa hakionekani kwa sababu ya mfumo mbovu, mtaani kuna wachezaji wengi sana ila ndo hivyo siku hizi hata vile viwanja vya vumbi wanageuza masokoLol, kuuliza muhimu kaka. Akiitwa U-17 tunaguna, maana kuna mtu kashasema jamaa ni mwalimu, kwahiyo hapo tunahesabu si chini ya 23. Ninauliza sababu ninashangaa mchezaji kama huyo anakuwa wapi muda wote asionekane? Unajua magoli ya vichwa aliyofunga amepima vizuri sana, na hajahangaika kuruka. Striker mwenye mwili kama yule ni lulu sana, ingawa sijaona akicheza vipi, lakini alivyofunga inaonyesha ni striker anajua anachofanya (labda umri uwe umekwenda tu). Nikiona striker ana mwili mzuri halafu halafu amechelewa kutoka na hatumii potential yake vizuri, inasikitisha....mfano John Bocco.
viva Mbeya city
kutoka ligi daraja la kwanza mpaka ubingwa ligi kuu
Tena hat trick na timu ngumu kama azam....
Huyu jamaa kafunga magoli mazuri sana , umeonyesha namna ambavyo mfungaji anapaswa kuwa , usiishie hapo ongeza bidii mpira wa tz haulipi kiivyo ongeza bidii angalia mbele!
Mkuu nipo nawewe manake hao mbeya city kelele tu wenye mpira wao bado hawajaanza kazi yao simba na yanga
inawezekana., LIPULI walishawahi kufanya hivyo.Mapema ivo blaza?
Wataanza lini? Hao jamaa (Simba na Yanga) mwaka huu mmoja wao (kama sio wote) anaweza akachambia tindikali. Azam até no morte.Mkuu nipo nawewe manake hao mbeya city kelele tu wenye mpira wao bado hawajaanza kazi yao simba na yanga
Lol, kuuliza muhimu kaka. Akiitwa U-17 tunaguna, maana kuna mtu kashasema jamaa ni mwalimu, kwahiyo hapo tunahesabu si chini ya 23. Ninauliza sababu ninashangaa mchezaji kama huyo anakuwa wapi muda wote asionekane? Unajua magoli ya vichwa aliyofunga amepima vizuri sana, na hajahangaika kuruka. Striker mwenye mwili kama yule ni lulu sana, ingawa sijaona akicheza vipi, lakini alivyofunga inaonyesha ni striker anajua anachofanya (labda umri uwe umekwenda tu). Nikiona striker ana mwili mzuri halafu halafu amechelewa kutoka na hatumii potential yake vizuri, inasikitisha....mfano John Bocco.