nyimbo za siku hizi hazina ujumbe ni mapenzi tu ... zinaboa kusikiliza
wasanii wanaangalia kutengeneza chapaa sio kuweka legacy
Inakatisha tamaa kwamba the smartest are not appreciated
Mi siwezi kuwasahau Daz Nundaz, Pro Jay na Jay Mo cz Album zao zilikua za ukweli. Wameona mziki haulipi wameamua kutulia kuangalia watoto wanavyotengeneza hela