Muuguzi(Nurse) anahitajika haraka

G.T.L

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2012
Posts
1,755
Reaction score
4,035
Habari, natangaza nafasi moja ya ajira kwa muuguzi mwenye cheti cha ADDO kwaajili ya kuuza dawa katika duka langu mkoa wa Singida.
Jinsia ya kike atapewa kipaumbele zaidi.

Mawasiliano: 0652902994
 
Mtaaram wa maabara anahitajika haraka, awe na diploma, na awe dar.... Kwa maelezo zaidi call... 0788040405
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…