Mgombea Ubunge wa Jimbo la Geita kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Joseph Msukuma amesema kuwa Tanzania haifanyi kazi kwa kusikiliza mitandao Ila kwa kufuata uhalisia na utatuzi wa matatizo ya watu na kumtabiri Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa atashinda Urais kwa asilimia 98.
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Geita kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Joseph Msukuma amesema kuwa Tanzania haifanyi kazi kwa kusikiliza mitandao Ila kwa kufuata uhalisia na utatuzi wa matatizo ya watu na kumtabiri Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa atashinda Urais kwa asilimia 98.
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Geita kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Joseph Msukuma amesema kuwa Tanzania haifanyi kazi kwa kusikiliza mitandao Ila kwa kufuata uhalisia na utatuzi wa matatizo ya watu na kumtabiri Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa atashinda Urais kwa asilimia 98.
He is so annoying, huyu ndiyo amefanya majirani zetu watudharau. Hana elimu, hana akili, alichobaki nacho ni wizi na uchawa. Sijawahi kuona mpumbavu kama huyo Msukuma.
He is so annoying, huyu ndiyo amefanya majirani zetu watudharau. Hana elimu, hana akili, alichobaki nacho ni wizi na uchawa. Sijawahi kuona mpumbavu kama huyo Msukuma.
Sijawah kuona mtu mpuuz kama huyu, jimbon anaomba kura anatangaza kabsa "mim ni mbunge wa kudumu, nitakuwa mbunge wa jimbo hili had pale nitakapotaka mm kutogombea tena". U chawa tu ndo umemzidi na sifa za kijinga, rushwa nayo anaitanguliza mbele sana