Yanga wamekamilisha usajili wa kiungo wa CS Sfaxien, Mussa Balla Conte (21) kwa mkataba wa miaka mitatu hadi Juni 2028.
Conte, ambaye pia alikuwa kwenye rada za Simba SC, ametua akitokea Tunisia na kupokelewa na viongozi wa Yanga SC kwa ajili ya mazungumzo ya mwisho kabla ya kusaini mkataba rasmi.
Nyota huyo anatajwa kuwa mmoja wa viungo wenye kipaji kikubwa na uwezo wa kucheza kama kiungo wa kati au mkabaji, na Yanga SC wanaamini atakuwa nyongeza muhimu katika kikosi chao kuelekea msimu wa 2025/26.
Kwani ndo ana nini huyo Balla Hatun?
Utafikiri labda ni Messi sijui...
Yani ukiingia mtandaoni unashangaa...asije akaw kama Birigimana...ππππ€£π€£π€£π€£
Kwani ndo ana nini huyo Balla Hatun?
Utafikiri labda ni Messi sijui...
Yani ukiingia mtandaoni unashangaa...asije akaw kama Birigimana...ππππ€£π€£π€£π€£
Balla conte ni midfield defender ni mcheza mzuri sana. Alikuwa anaitaji na vilabu vya ulaya sema walitoa offer ndogo sana.
Hata zamalek pia.
Ishu ya kufungwa hio ni nishu nyingine.
Unapotafuta mchezaji mzuri unaangali mchezaji yeye kama yeye jinsi anavyocheza na uwezo wake akiwa uwachanjani,
Ishu ya timu kupata matokeo uwanjani inatemeana na timu mzima kwa ujumla .
Ungemchukua pacome afu umpeleke ken gold , bado wangeshuka tuu daraja