Mume wa mtu kaning'ang'ania......


Mie sijakuelewa vizuri ebu nijibu maswali yangu,
1. unamuona kama anakusumbua kwa kuwa ana mke na watoto?
2.au Unamuona anakusumbua kwa kuwa kakupenda?
3.au Unamuona anakusumbua kwa kuwa tayari unamchumba?
4.au Unamuona anakusumbua kwa kuwa humpendi tu?
5.Aliposema anataka kusilimu ulimuuliza anasilimu kwa sababu yako au anasilimu kwa kukubali kuwa "Anashahidilia kuwa hapana Mola apasaye kuabudiwa kwa haki ila Allah, anashahidilia kuwa Muhammad ni mtume wake"?

Tanbihi: kama utaamua kuolewa naye na msimamo wake ukawa ni kusilimu kwa sababu ya matamanio yake basi huyo hakufai jiepushe nae kwani atakutia mitihani. Akisha zaa na wewe atakuwa kisha timiza malengo yake ya kukuzini na atakuacha kama anavyomuacha huyo mwingine.
 
Usikate tamaa, mpaka hapa umeshapata ushauri wa kutosha sasa changanya na zako!
 

Kwani sikuna sumu za kuangamiza kupe kwa maphamasist! Unangoja nini kununua na kupulizia? Au ndo kusema hadi akusababishie homa?
 
kuna mambo huku hii kali njoo nikupe wa kwangu hata hatokung'ang'ania na wala hatotaka mtoto
halafu inawezekana mtoto wake na mke wake wapo humu tena na wao wamechangia loo
 

Tatizo hujaelewa. Soma vizuri
 

sasa na wewe kisa cha kutembea na mume wa mtu hadi kutangaza ni nini kama sio upuuzi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…