Mume mwema

Nashindwa hata kujibu swali gumu. Kwani ina maana hakuna walio na umri zaidi yangu hawajaolewa? mbona wapo wengi tu ni muda tu mungu akikupa anakupa huna haja ya kulazimisha.

Wasikukatishe tamaa kula kulala, nipo tayari kama upo tayari kubadili dini
 
Nashindwa hata kujibu swali gumu. Kwani ina maana hakuna walio na umri zaidi yangu hawajaolewa? mbona wapo wengi tu ni muda tu mungu akikupa anakupa huna haja ya kulazimisha.

Nafikiri usiumize kichwa just mjibu ndio sijaolewa
 

umeshampata?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…