MUHIMU: Natafuta Mchumba

Blessed Jr

Senior Member
Joined
Nov 17, 2016
Posts
134
Reaction score
236
Habari,

Naitwa Brian, mwanaume, ni mwalimu wa Sekondari nipo Dar, miaka 31, natafuta mchumba (Mwanamke) na awe Mkristo (RC) au dhehebu lolote, awe Mcha Mungu na asiwe mtu wa mambo mengi (mambo ya Kidunia),

Awe na umri kuanzia miaka 23-28.

Karibuni.
 
Wengine mnakuwa na fursa mlangoni lakini hamzioni. We unachunga kondoo halafu unashindwa kujua aliyenona? Angalia katika wanafunzi wako utapata mwenye sifa ulizozitaja. Subiri amalize form 6 au diploma ingiza ndani hata Lundenga alichagua kutoka kwenye kundi la kondoo wake.
 
Nadhani hawa wanakuwa wadogo mpaka amalize itanichukua muda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…